Saturday, 30 May 2026
Bei ya mafuta ghafi duniani imeendelea 22.7 ikilinganishwa na dola 112.9 zilizorekodiwa Aprili 7, 2026, mabadiliko makubwa katika soko la nishati duniani.
Hata hivyo, kushuka huku bado hakujafikia WaTanzania. Wataalamu wanasema bei za rejareja za petrol na diseli nchini zinaweza kuanza kushuka taratibu wiki zijazo kutokana na mzunguko wa gharama za usafirishaji, bima na tozo za serikali kabla ya kufikia mlaji wa mwisho.
EWURA hufanya marekebisho ya bei kila mwezi tarehe 1. Serikali kupitia Wizara ya Nishati imesema iwapo mwenendo huu utaendelea, basi kuna uwezekano wa kupungua kwa shinikizo la gharama za nishati nchini katika wiki na miezi ijayo.