W aziri wa Fedha na Mipango Dkt. Filip Mpango (katikati) akiwa na viongozi wengine wa Serikali, Mkurugenzi wa Mashtaka(DPP) Biswalo Mgan...
![]() |
Waziri wa Fedha na
Mipango Dkt. Filip Mpango akisoma maelezo ya mzigo huo ambayo yalikuwa tofauti
kabisa na uhalisia mara baada ya kuhakikiwa na timu ya Wataalamu wa Kitanzania wazalendo.
|
![]() |
Waziri wa Fedha na
Mipango Dkt. Filip Mpango akizungumza wakati akipokea Ripoti ya Uchunguzi wa
Madini hayo ya Almasi jijini Dar es Salaam.
|
![]() |
Profesa Abdulkarim
Mruma akiwasilisha Taarifa yake ya Uchunguzi wa Madini yaliyokamatwa katika
uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.
Picha na Mpiga Picha Maalum
|
COMMENTS