Habari Mpya

Friday, 8 September 2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Taarifa ya Kamati Maalum ya Bunge ya Kuchunguza Madini ya Tanzanite kutoka kwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kwenye hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam.


Wabunge wa Kamati Maalum ya Uchunguzi wa Biashara ya Madini ya Almasi na Tanzanite nao wakipiga makofi wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Spika wa Bunge Job Ndugai, Mwenyekiti wa Kamati Maalum ya Bunge iliyochunguza biashara ya Almasi, Mussa Azzan Zungu(wakwanza kulia waliokaa), Mwenyekiti wa Kamati Maalum ya Bunge iliyochunguza biashara ya Tanzanite Doto Biteko(wakwanza kushoto waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Kamati hizo za uchunguzi pamoja na Viongozi wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama Ikulu jijini Dar es Salaam.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na mmoja wa Wajumbe wa Kamati hiyo ya Uchunguzi wa Madini David Silinde Ikulu jijini Dar es Salaam. PICHA NA IKULU


Leave a Reply

Subscribe to Posts | Subscribe to Comments

- Copyright © Mito Ya Baraka Morogoro - Mito Ya Baraka Morogoro - Powered by Blogger - Designed by Peter Mwamkamba -