Habari Mpya

Thursday, 26 October 2017

TUME ya uchaguzi imeahirisha uchaguzi katika kaunti za Kisumu, Siaya, Migori na Homa Bay.
Vituo vya kura katika baadhi ya maeneo tayari vimefungwa.

Kinyume na uchaguzi wa mwezi Agosti, katika vituo vya kupigia kura hakukuwa na foleni ndefu.

Kiongozi wa upinzani Raila Odinga amesusia uchaguzi huo na kuwataka wafuasi wake wasalie manyumbani

Uchaguzi huu unatokana na hatua ya Mahakama ya Juu kufuta uchaguzi uliofanyika tarehe 8 Agosti

Leave a Reply

Subscribe to Posts | Subscribe to Comments

- Copyright © Mito Ya Baraka Morogoro - Mito Ya Baraka Morogoro - Powered by Blogger - Designed by Peter Mwamkamba -