Habari Mpya

Habari Zote

Archive for September 2017

KUTOKA  LONDON,

Kuelekea mchezo wa klabu bingwa balani ulaya leo tarehe 27 usiku wa saa 3:45,viwanja mbalimbali vitalindima ambapo PARIS SAINT GERMAIN itacheza na BUYEN MUNCHEN,CHELSEA  na ATLETICO MADRID,
pata kufahamu takwimu za mechi zilizokutana kati ya Chelsea vs Atletico Madrid,kutokana na takwimu zilizopo hapo chini ATRETICO MADRID inanafasi kubwa ya kupata ushindi.

Matches
2014-04-30

1
3
2014-04-22

0
0
2012-08-31

1
4
2009-11-04

2
2
2009-10-22

4
0


KUTOKA  HISPANIA.

Toleo la kwanza la Kombe la Ulaya lilifanyika wakati wa msimu wa 1955-56.
Timu kumi na sita zilishiriki:
Pichani ni mchezo kati ya Barcelona vs Hamburguliofanyika mwaka 19961
 Milan (Italia), AGA Aarhus (Denmark), Anderlecht (Ubelgiji), DjurgÃ¥rden (Sweden), Gwardia Warszawa (Poland), Hibernian (Scotland), Partizan (Yugoslavia), PSV Eindhoven (Uholanzi), Rapid Wien ( Austria), Real Madrid (Hispania), Rot-Weiss Essen (Ujerumani Magharibi), Saarbrücken (Saar), Servette (Uswisi).

 Uwanja wa Michezo (Portugal), Stade de Reims (Ufaransa) na Vörös Lobogó (Hungary).  Mechi ya kwanza ya Kombe la Ulaya ilitokea tarehe 4 Septemba 1955, na ikamalizika kwenye sare ya 3-3 kati ya Sporting CP na Partizan.

 Magori ya kwanza katika historia ya Kombe la Ulaya yalifungwa na João Baptista Martins wa CPU katika mchezo uliochezwa kwenye uwanja wa  Parc des Princes kati ya Stade de Reims na Real Madrid, Kikosi cha Madrid kilipata kipigo cha 4-3 ambapo magoli ya Reims  yalifungwa na  Alfredo DiStéfano,Marquitos, pamoja na magoli mawili kutoka kwa Héctor Rial.

habari popote



Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Filip Mpango (katikati) akiwa na viongozi wengine wa Serikali, Mkurugenzi wa Mashtaka(DPP) Biswalo Mganga (kushoto), Kamishna Mkuu wa  Mamlaka ya Mapato nchini TRA Charles Kichere(kulia) wakiangalia Mzigo wa Almasi uliokamatwa katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.

Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Filip Mpango akisoma maelezo ya mzigo huo ambayo yalikuwa tofauti kabisa na uhalisia mara baada ya kuhakikiwa na timu ya  Wataalamu wa Kitanzania wazalendo.

Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Filip Mpango akiangalia Mzigo huo wa Almasi kutoka kwenye kampuni moja ya uchimbaji wa madini hayo Mwadui mkoani Shinyanga, mara baada ya kuhakikiwa na Wataalamu Wazalendo waligundua  kuwa mzigo huo una uzito Kg. 29 tofauti na Kg.13 zilizoanishwa na wahusika wa mzigo huo, na thamini yake ni zaidi ya Tsh. Bilioni 64.

Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Filip Mpango akiangalia Mzigo huo wa Almasi kutoka kwenye kampuni moja ya uchimbaji wa madini hayo Mwadui mkoani Shinyanga, mara baada ya kuhakikiwa na Wataalamu Wazalendo waligundua  kuwa mzigo huo una uzito Kg. 29 tofauti na Kg.13 zilizoanishwa na wahusika wa mzigo huo, na thamini yake ni zaidi ya Tsh. Bilioni 64.


Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Filip Mpango akizungumza wakati akipokea Ripoti ya Uchunguzi wa Madini hayo ya Almasi jijini Dar es Salaam.

Profesa Abdulkarim Mruma akiwasilisha Taarifa yake ya Uchunguzi wa Madini yaliyokamatwa katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam. Picha na Mpiga Picha Maalum

- Copyright © Mito Ya Baraka Morogoro - Mito Ya Baraka Morogoro - Powered by Blogger - Designed by Peter Mwamkamba -