Habari Zote
Archive for September 2017
KUTOKA LONDON,
Kuelekea mchezo wa klabu bingwa balani ulaya leo tarehe 27
usiku wa saa 3:45,viwanja mbalimbali vitalindima ambapo PARIS SAINT GERMAIN
itacheza na BUYEN MUNCHEN,CHELSEA na
ATLETICO MADRID,
pata kufahamu takwimu za mechi zilizokutana kati ya Chelsea vs Atletico Madrid,kutokana na takwimu zilizopo hapo chini ATRETICO MADRID inanafasi kubwa ya kupata ushindi.
pata kufahamu takwimu za mechi zilizokutana kati ya Chelsea vs Atletico Madrid,kutokana na takwimu zilizopo hapo chini ATRETICO MADRID inanafasi kubwa ya kupata ushindi.
Matches
2014-04-30
1
3
2014-04-22
0
0
2012-08-31
1
4
2009-11-04
2
2
2009-10-22
4
0
KUTOKA HISPANIA.
Toleo la kwanza la Kombe la Ulaya lilifanyika wakati wa msimu wa 1955-56.
Timu kumi na sita zilishiriki:
![]() |
Pichani ni mchezo kati ya Barcelona vs Hamburguliofanyika mwaka 19961 |
Milan (Italia), AGA Aarhus (Denmark), Anderlecht (Ubelgiji), Djurgården (Sweden), Gwardia Warszawa (Poland), Hibernian (Scotland), Partizan (Yugoslavia), PSV Eindhoven (Uholanzi), Rapid Wien ( Austria), Real Madrid (Hispania), Rot-Weiss Essen (Ujerumani Magharibi), Saarbrücken (Saar), Servette (Uswisi).
Uwanja wa Michezo (Portugal), Stade de Reims (Ufaransa) na Vörös Lobogó (Hungary). Mechi ya kwanza ya Kombe la Ulaya ilitokea tarehe 4 Septemba 1955, na ikamalizika kwenye sare ya 3-3 kati ya Sporting CP na Partizan.
Magori ya kwanza katika historia ya Kombe la Ulaya yalifungwa na João Baptista Martins wa CPU katika mchezo uliochezwa kwenye uwanja wa Parc des Princes kati ya Stade de Reims na Real Madrid, Kikosi cha Madrid kilipata kipigo cha 4-3 ambapo magoli ya Reims yalifungwa na Alfredo DiStéfano,Marquitos, pamoja na magoli mawili kutoka kwa Héctor Rial.
![]() |
Waziri wa Fedha na
Mipango Dkt. Filip Mpango akisoma maelezo ya mzigo huo ambayo yalikuwa tofauti
kabisa na uhalisia mara baada ya kuhakikiwa na timu ya Wataalamu wa Kitanzania wazalendo.
|
![]() |
Waziri wa Fedha na
Mipango Dkt. Filip Mpango akizungumza wakati akipokea Ripoti ya Uchunguzi wa
Madini hayo ya Almasi jijini Dar es Salaam.
|
![]() |
Profesa Abdulkarim
Mruma akiwasilisha Taarifa yake ya Uchunguzi wa Madini yaliyokamatwa katika
uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.
Picha na Mpiga Picha Maalum
|