Habari Mpya

Wednesday, 1 November 2017

KANISA la Enjoying Assemblies of God linakukaribisha katika ibada zao zinazofanyika kila siku ya Jumapili Asubuhi hadi mchana, Jumatano saa 10:00 jioni na Ijumaa, Jumanne niwanawake (wanamama), Alhamisi saa 10:00 jioni ni Waimbaji.

Siku ya Ijumaa ni Maombi na maombezi.

Mito ya Injili Linawakaribisha watu wote.


Leave a Reply

Subscribe to Posts | Subscribe to Comments

- Copyright © Mito Ya Baraka Morogoro - Mito Ya Baraka Morogoro - Powered by Blogger - Designed by Peter Mwamkamba -