- Home >
- Enjoying Assemblies of God Tanzania
Wednesday, 1 November 2017
KANISA la Enjoying Assemblies of God linakukaribisha katika ibada zao zinazofanyika kila siku ya Jumapili Asubuhi hadi mchana, Jumatano saa 10:00 jioni na Ijumaa, Jumanne niwanawake (wanamama), Alhamisi saa 10:00 jioni ni Waimbaji.
Siku ya Ijumaa ni Maombi na maombezi.
Mito ya Injili Linawakaribisha watu wote.
