Powered by Blogger.

About

[Michezo kimataifa][column2]

Labels

Blog Archive

Search This Blog

Blog Archive

[random][featured1]

BTemplates.com

MICHEZO KITAIFA

[michezo][column2]

Blogroll

[afya][fbig2]

Contact us

Name

Email *

Message *

BTemplates.com

Msemaji wa jeshi ncini Kenya aliyedaiwa kutoweka ajitokeza

Wizara ya ulinzi nchini Kenya imeshutumu taarifa zilizokuwa zimeenezwa kwamba msemaji wa jeshi la Kenya Kanali Joseph Owuoth alikuwa ametow...

Wizara ya ulinzi nchini Kenya imeshutumu taarifa zilizokuwa zimeenezwa kwamba msemaji wa jeshi la Kenya Kanali Joseph Owuoth alikuwa ametoweka.
Waziri Raychelle Omamo, akihutubia wanahabari, amesema taarifa kama hizo zinatishia usalama na kuzua wasiwasi miongoni mwa maafisa wa jeshi na familia zao.
"Kanali J. M. Owuoth hajatoweka na yuko nasi hapa, akiwa hai na mzima wa afya," alisema Bi Omamo.
"Tunawataka wanasiasa kukaa kutoiingiza wizara katika siasa zao."
Kanali huyo alikuwa ameandamana na waziri kwenye kikao hicho.
Kanali Owuoth aliandamana na Waziri Omamo katika kikao na wanahabari
Kanali Owuoth (kulia) aliandamana na Waziri Omamo wakati wa kikao na wanahabari

Kanali Owuoth aligonga vichwa vya haKIMATAIFAbari baada ya kuthibitisha kwamba nyaraka zilizokuwa zimetumiwa na muungano wa upinzani nchini humo Nasa kudai kwamba serikali inapanga kutumia jeshi kutekeleza 'mapinduzi' ili kuendelea kusalia madarakani zilikuwa halisi.
Msemaji huyo hata hivyo alisema nyaraka hizo zilinukuliwa na kufasiriwa visivyo.
Bi Omamo, kwenye kikao hicho, alisema baada ya uchunguzi, imebainika kwamba nyaraka hizo zilizotumiwa na muungano wa Nasa zilikuwa ghushi.
Taarifa za kudaiwa kutoweka kwa Kanali Owuoth zilikuwa zimezua wasiwasi mkubwa kwani zilijiri siku moja baada ya mwili wa meneja wa teknolojia katika Tume ya Uchaguzi Kenya (IEBC) Chris Msando, aliyetoweka Ijumaa usiku, kupatikana katika chumba cha kuhifadhia maiti cha City jijini Nairobi pamoja na mwili wa mwanamke mwingine.

Mwenyekiti wa IEBC Wafula Chebukati aliambia wanahabari kwamba hakukuwa na shaka kwamba Bw Msando aliteswa kabla ya kuuawa na kuwataka polisi wafanye uchunguzi wa kina kufumbua kitendawili kuhusu kuuawa kwake.

COMMENTS

[facebook]
Name

AFYA,6,GURUDUMU LA MAISHA,2,HABARI,48,KIJIJINI,7,KIMATAIFA,9,MAHUSIANO NA SAIKOLOJIA,2,MAKALA,2,MAKALA YA ELIMU,1,MICHEZO,2,MIKOANI,4,SARAFU,4,VIDEO,4,ZANZIBAR,1,
ltr
item
LENZI MEDIA: Msemaji wa jeshi ncini Kenya aliyedaiwa kutoweka ajitokeza
Msemaji wa jeshi ncini Kenya aliyedaiwa kutoweka ajitokeza
https://ichef-1.bbci.co.uk/news/660/cpsprodpb/1027F/production/_97157166_9671d94f-b7c2-4a68-b6af-64534ba1a639.jpg
LENZI MEDIA
https://lenzimedia.blogspot.com/2017/08/msemaji-wa-jeshi-ncini-kenya-aliyedaiwa.html
https://lenzimedia.blogspot.com/
https://lenzimedia.blogspot.com/
https://lenzimedia.blogspot.com/2017/08/msemaji-wa-jeshi-ncini-kenya-aliyedaiwa.html
true
2372332392983471599
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS PREMIUM CONTENT IS LOCKED STEP 1: Share to a social network STEP 2: Click the link on your social network Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy Table of Content