Powered by Blogger.

About

[Michezo kimataifa][column2]

Labels

Blog Archive

Search This Blog

Blog Archive

[random][featured1]

BTemplates.com

MICHEZO KITAIFA

[michezo][column2]

Blogroll

[afya][fbig2]

Contact us

Name

Email *

Message *

BTemplates.com

Madiwani Ushetu Kufukuza Kazi Vigogo Wa Idara Nyeti

BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Ushetu Wilayani Kahama Mkoani Shinyanga  limewafukuza kazi wakuu wa idara nguli wawili kutokana na mak...

BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Ushetu Wilayani Kahama Mkoani Shinyanga  limewafukuza kazi wakuu wa idara nguli wawili kutokana na makosa mbali mbali ikiwemo matumizi mabaya ya Madaraka na mali ya umma.

Akitoa maamuzi ya kufukuzwa kwa  watumishi hao muda Mfupi baada ya baraza la madiwani kujigeuza kuwa kamati ili kupata fursa ya kujadili ripoti ya uchuguzi dhidi ya watumishi hao ,Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo  Juma Kimisha alisema kuwa baraza limejiridhisha pasipo shaka na kuweza kuwatia hatiani.
 
Madiwani Ushetu Kahama
Kimisha  aliwataja watumishi hao kuwa ni pamoja na Afisa kutoka idara ya Mipango na ufuatiliaji na Takwimu  Fredrick Mallya ambaye alikuwa na makosa manne ambapo kati ya hayo ni moja tuu ambalo hakupatikana na hatia.

Alisema kuwa kamati imechunguza na kubaini kuwa hakukutwa na hatia moja ya  kuratibu taarifa ya Mkoa na kusababisha mkurugenzi wake kufukuzwa katika kikao cha kuwasilisha bajeti ya mkoa mzima.

 Alisema kuwa kosa la pili la mtumishi huyo ni kupatikana na hatia ya kutotii wito wa katibu Tawala wa Mkoa  na kosa la tau ni kutotii maagizo mbalimbali ya mkurugenzi anapomwagiza huku kosa la Nne ni kushindwa kuwasilisha bajeti ya halmashauri ya wilaya  kwenye majumuisho ya bajeti Dar es salaam na badala yake alikaa siku 4 kati ya siku 19 alizotakiwa kukaa huko.

Pamoja na hayo Mwenyekiti huyo alisema kuwa  kati ya makosa hayo, kosa la kwanza la kushindwa kuratibu taarifa ya mkoa ndilo kosa ambalo hakutiwa hatiani lakini makosa mengine amekutwa na hatia.

Mtumishi mwingine ni Mkuu wa idara ya fedha na Biashara Stephen Nyeriga, baada ya kamati kuchunguza imebaini kuwa  mtumishi huyo alikuwa na makosa  sita na kati ya hayo makosa matano amekutwa na hatia.

Alisema kuwa makosa hayo ni pamoja na kutotii wito wa katibu tawala wa Mkoa , kosa la pili ni kushindwa kusimamia mapato ya halmashauri na kusababisha baadhi ya vitabu kupotea na kuingia kwenye mikono ya wajanja, na kosa la tatu nikusababisha migongano kati ya ofisi ya Mkurugenzi na watumishi.

Makosa mengine ni pamoja na kushindwa kuandaa Maduhuli ya Halmashauri kwa ajili ya lipoti mbalimbali, na kosa la tano ni kushindwa kutekeleza maagizo ya Mkurugenzi wake huku kosa la sita likiwa ni kushindwa kuwasilisha bajeti ya halmashauri Ngazi ya Taifa hali ambayo imechangia Halmashauri kupata hati yenye mashaka.

Kutokana na hali hiyo Baraza hilo limeridhia kwa kauli moja na kwamba kufukuzwa kwa watumishi hao kutaongeza nidhamu katika utumishi wa umma kwenye halimashauri hiyo  ikiwa nipamoja na mishingi ya kazi iliyowekwa.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Michael Matomora aliwataka watumishi wengine waliosalia kuhakikisha wanakuwa na uadilifu na kuacha kufanya kazi kwa mazoea kwani hali hiyo inachangia  kushindwa kuwatumikia wananchi.


Alisema kuwa watumishi waliopo wanatakiwa kufanya kazi kwa uadilifu na kumuunga mkono raisi wa  jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli katika jitihada zake za kukabiliana na ubadhilifu wa fedha za umma na kwamba kufanya hivyo kutaleta heshima kwa Mtumishi Mwenyewe na halmashauri. 

COMMENTS

[facebook]
Name

AFYA,6,GURUDUMU LA MAISHA,2,HABARI,48,KIJIJINI,7,KIMATAIFA,9,MAHUSIANO NA SAIKOLOJIA,2,MAKALA,2,MAKALA YA ELIMU,1,MICHEZO,2,MIKOANI,4,SARAFU,4,VIDEO,4,ZANZIBAR,1,
ltr
item
LENZI MEDIA: Madiwani Ushetu Kufukuza Kazi Vigogo Wa Idara Nyeti
Madiwani Ushetu Kufukuza Kazi Vigogo Wa Idara Nyeti
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhp2S7MVQzvlCSFTvu7eh70RXlNT6V_OwQC2EcTlX7BmWKZRtEt6SlotfLG8KAA30Z0GyhYVFn1iS0rhaN-qczSAQe9e_M7bcxkDb1a2jp-f87IpNbFAHo9lAi8jXuWMeQDF_eV9s_oCEI/s640/Madiwani+kahama.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhp2S7MVQzvlCSFTvu7eh70RXlNT6V_OwQC2EcTlX7BmWKZRtEt6SlotfLG8KAA30Z0GyhYVFn1iS0rhaN-qczSAQe9e_M7bcxkDb1a2jp-f87IpNbFAHo9lAi8jXuWMeQDF_eV9s_oCEI/s72-c/Madiwani+kahama.JPG
LENZI MEDIA
https://lenzimedia.blogspot.com/2017/08/madiwani-ushetu-kufukuza-kazi-vigogo-wa_17.html
https://lenzimedia.blogspot.com/
https://lenzimedia.blogspot.com/
https://lenzimedia.blogspot.com/2017/08/madiwani-ushetu-kufukuza-kazi-vigogo-wa_17.html
true
2372332392983471599
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS PREMIUM CONTENT IS LOCKED STEP 1: Share to a social network STEP 2: Click the link on your social network Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy Table of Content