Powered by Blogger.

About

[Michezo kimataifa][column2]

Labels

Blog Archive

Search This Blog

Blog Archive

[random][featured1]

BTemplates.com

MICHEZO KITAIFA

[michezo][column2]

Blogroll

[afya][fbig2]

Contact us

Name

Email *

Message *

BTemplates.com

NHIF kuongeza wanachama wasio waajiriwa

Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) wametakiwa kuongeza jitahada za kuwasajili wanachama wengi wa mfuko huo ili vituo vya serikali viweze...

Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) wametakiwa kuongeza jitahada za kuwasajili wanachama wengi wa mfuko huo ili vituo vya serikali viweze kutoa huduma kwa wananchi wengi

Hayo yamesemwa mwishoni mwa wiki na Waziri wa Afya,maendeleo ya jamii,Jinsia,Wazee na Watoto ummy mwalimu wakati alipotembelea kituo cha afya cha Mazwi kilichopo katika Manispaa ya Wilaya ya Sumbawanga mwishoni.

Alisema Mkoa wa Rukwa umefikia asilimia 27 ya wananchi wanaotumia bima ya afya Kitaifa,hivyo waongeze kuwashawishi wananchi wengi zaidi kujiunga na mfuko huo pamoja na mfuko wa afya ya jamii(CHF)

“nimesema kuanzia sasa ninaanza kuwapima kwa kusajili wananchi ambao hawapo kwenye mfumo rasmi wa ajira,ninataka vijana wengi wajiunge kwa wingi kwa kwa kujiunga kama kikundi na kujiunga na bima inayojulikana kama  ‘Kikoa” kwa kujiunga kikundi cha kuanzia watu kumi,wafikieni huko huko walipo

Kwa upande wa Mfuko wa Afya ya jamii(CHF) waziri huyo hivi sasa kuna CHF iliyoboreshwa hivyo kadi hiyo inatumika kwenye vituo vyote vya halmashauri  na si pale mwanachama alipokatia,”ni bora tuwachangishe elfu kumi kumi za watanzania ili tuweze kufikia usajili wananchi wengi na kupata huduma za afya bila vikwazo

Hata hivyo alishauri Manispaa hiyo kutengezea kadi ambayo itakua rafiki kwa mwanachama kuweza kuiweka kwenye waleti au mahali pengine ambayo itakua rahisi kwa kutunza na siyo kadi za hivi sasa ambayo ni mzigo kwa mwanachama kuibeba kwani kadi hiyo ni kubwa

Pia, alisema wizara yake inataka kuongeza gharama ya CHF iliyoboreshwa ya  shilingi elfu ishirini ambapo mwenye kadi hiyo ataenda kupata huduma hivyo hadi  hospitali ya mkoa,

“ tunazungumzia kila mtu apate huduma za tiba bila kikwazo,leo una hela,kesho huna na una umwa bora tunasema utoe elfu kumi na utibiwe ndani nya manispaa tena siyo peke yako bali na watu wako watano,alisema waziri ummy.


Hata hivyo alisema ni  marufuku  kwa mtu mwenye kadi ya CHF anapoenda kwenye vituo vya huduma ya afya kuambiwa akanunue kipimo au dawa bali wanatakiwa kupata vipimo vyote.

COMMENTS

[facebook]
Name

AFYA,6,GURUDUMU LA MAISHA,2,HABARI,48,KIJIJINI,7,KIMATAIFA,9,MAHUSIANO NA SAIKOLOJIA,2,MAKALA,2,MAKALA YA ELIMU,1,MICHEZO,2,MIKOANI,4,SARAFU,4,VIDEO,4,ZANZIBAR,1,
ltr
item
LENZI MEDIA: NHIF kuongeza wanachama wasio waajiriwa
NHIF kuongeza wanachama wasio waajiriwa
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg5pR9rhEb7sR36oWzAIo5Fdp571K7KlE9z_M3nlIniFBPJQ-Dqm2SdC-7JhhyeMI2-KCle4JQGa99swzccPf5vNn9A0ZIy-FWQZ2rK-iiKdzeW_aw5jXbc2jAV4-EujigQpJq1C4d8qHo/s640/NHIF%252BHOUSE0509.JPG.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg5pR9rhEb7sR36oWzAIo5Fdp571K7KlE9z_M3nlIniFBPJQ-Dqm2SdC-7JhhyeMI2-KCle4JQGa99swzccPf5vNn9A0ZIy-FWQZ2rK-iiKdzeW_aw5jXbc2jAV4-EujigQpJq1C4d8qHo/s72-c/NHIF%252BHOUSE0509.JPG.jpg
LENZI MEDIA
https://lenzimedia.blogspot.com/2017/08/nhif-kuongeza-wanachama-wasio-waajiriwa.html
https://lenzimedia.blogspot.com/
https://lenzimedia.blogspot.com/
https://lenzimedia.blogspot.com/2017/08/nhif-kuongeza-wanachama-wasio-waajiriwa.html
true
2372332392983471599
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS PREMIUM CONTENT IS LOCKED STEP 1: Share to a social network STEP 2: Click the link on your social network Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy Table of Content